Historia Ya Muda – Mashahidi Wa Yehova

Historia ya Muda

1879 Charles Taze Russell alianza kuchapa gazetti Zion’s Watch Tower na Herald of Christ’s Presence.

1881 Walianzisha Watchtower Tract Society.

1886 Russell alichapa kitabu chake Divine Plan of the Ages (Mpango wa Mungu Kwa Vizazi).

1914 Vita vya Mageddon haikutimia kama walivyotabiri.

1916 Charles Russell alifariki.

1917 J. F. Rutherford alichukua nafasi ya Russell.

1920 Watch Tower walidai watu mamillioni wanaoishi sasa hawatakufa! Tena walitabiri ufufuo wa ulimwengu huu katika mwaka wa 1925.

1925 Watu kama Ibrahimu, Isaka na Yakobu hawakufufuka kama walivyotabiri.

1930 Walijenga nyumba “Beth Sarim” kule San Diego, California U.S.A. kwa ajili ya manabii wa zamani wa Mungu. Walidai manabii wa zamani watafufuka na watahitaji sehemu ya kuishi.

1931 Walichagua jina “Mashahidi wa Yehova” kwa mara ya kwanza.

1942 Rutherford alikufa. N. H. Knorr alichukua nafasi yake.

1950 Walianza kuchapa tafsiri yao ya maandiko, New World Translation. Walimwita Yesu kuwa mungu kati ya miungu mingi. Tena waliongeza neno “Yehova” kwenye Agano Jipya.

1968 Kwenye Watch Tower waliandika kwamba inawezekana Yesu atarudi katika mwaka wa 1975.

1975 Yesu hakufika.


Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

%d bloggers like this: